Sunday, November 15, 2015

UWIIII....PICHA(18+) ZA AIBU: HAYA NDO MADHARA YA FACEBOOK USIPO KUA NA MAPENZI YA DHATI. ONA SASA

                
               
                                BONYA HAPO UJIONEE NA VIDEO ZINGINE NYINGI

  • FOR HOT NEWS PLEASE CLICK HERE
  • MASTAA WA KIUME WENYE MADEMU ‘VISU’ ZAIDI AFRIKA


    Peter Okoye akiwa na mkewe.

    KILA mwanaume anatamani kuwa na mpenzi mzuri, lakini linapokuja suala la mapenzi kigezo cha uzuri wa mtu huweza kuwa na tafsiri pana kiasi kwamba
    wahenga hawakukosea waliposema kipendacho roho hula nyama mbichi huku Wazungu wakiwa na usemi wa: ‘Beauty is in the eyes of the beholder’ wakiwa na maana kwamba uzuri upo ndani ya macho ya mtu atazamaye.

  • FOR HOT NEWS PLEASE CLICK HERE
  • Afande Kova: Mita 200 za UKAWA Zilitunyima Usingizi



    Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna, Suleiman Kova amesema kati ya masuala ambayo yaliliumiza kichwa Jeshi la Polisi ni maagizo yaliyokuwa yakitolewa na viongozi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa wafuasi wao.

    Kova alisema suala ambalo liliwanyima zaidi usingizi ni maagizo ya maandamano baada ya uchaguzi pamoja na wananchi kutakiwa kulinda kura zao mita 200, kutoka katika vituo vya kupigia kura.
     
     “Lakini tunashukuru kwa kumaliza Uchaguzi Mkuu salama na hakuna aliyeyapokea maagizo hayo,” alisema.

    Akizungumza katika hafla maalumu ya kuwapongeza askari wake kwa kusimamia vema kampeni na Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, Kova alisema maagizo ya kulinda kura mita 200 na suala la maandamano bila kikomo yaliumiza vichwa jeshi hilo.

    Kova alisisitiza kwamba japokuwa usimamizi wa uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa mgumu na wa hatari tofauti na mwingine wowote uliowahi kufanyika nchini tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992, walitoa nafasi sawa za ulinzi na uongozaji wa misafara ya wagombea wote bila kutoa upendeleo, hivyo kuonyesha mfano.

    Alisema kwa mara ya kwanza uchaguzi umemalizika salama bila kuwapo kwa vifo au majeruhi yaliyosababishwa na polisi, kutokana na askari kutambua wajibu wao kwa wananchi na kutumia muda mwingi kutoa elimu zaidi bila ya kutumia nguvu.

    Kova alieleza kuwa japokuwa kulikuwa na mazingira ya kuchokozwa kwa makusudi, polisi waliweza kuvuka kizingiti hicho na kusimamia vema uchaguzi huo.

    Alisema hatua inayofuata ni kuhakikisha askari hao wanalipwa stahili hasa posho zao ambazo hawakulipwa wakati wote wa kampeni na kusimamia uchaguzi.

    Alisema agizo hilo amelitoa kwa wahusika na kwamba limeanza kufanyiwa kazi. Kamanda Kova alisema sasa wanajielekeza kupambana na uhalifu.

  • FOR HOT NEWS PLEASE CLICK HERE
  • +18>>>WAKUBWA TU: VIDEO YAVUJA BAADA YA KUJIREKODI WAKIFANYA MAPENZI



    Hii dunia ukiangalia vizuri utadhani imefikia mwisho wake mwana wa adamu arudi kuchukua walio wake. Hebu ona hii video hapo chini kama hujaamini hii ni zaidi ya laana kabisa.

  • FOR HOT NEWS PLEASE CLICK HERE
  • More Post

     

    Copyright @ 2013 NI ZAIDI YA LAANA .

    Designed by Templateiy & CollegeTalks